Ads 468x60px

Apr 11, 2013

Hasad Karne Wala Apni...


QAUL:

"Hasad Karne Wala Apni Bato Me Mohabbat Ka Izhar Karta Hai
Aur
Apne Qirdar Me Bugz Ko Chupaye Hota Hai"

>HAZRAT ALI KaramAllahu Ta'ala Wajhahul Kareem"

Hasad Karne Wala Apni...


QAUL:

"Hasad Karne Wala Apni Bato Me Mohabbat Ka Izhar Karta Hai
Aur
Apne Qirdar Me Bugz Ko Chupaye Hota Hai"

>HAZRAT ALI KaramAllahu Ta'ala Wajhahul Kareem"

Apr 10, 2013

Fadhila za Elimu - PT 3 (Kiswahili)

Assalaamu alaikum,
 Natumai hamjambo. Hivi mnakumbuka hadi sasa imeelezwa nini kuhusu fadhila za elimu? Tunaendelea …

AYA: INNAMA YAKHSHALLAHA MIN IBAADIHIL ULAMAA.
 Tafsiri ya aya:
Hakika wamchao au wenye kumuogopa Allah zaidi katika viumbe vyake ni wanazuoni tu.

Kwani mimi na nyinyi hatumuogopi Allah? Sasa imekuaje hapa wakatajwa wanazuoni tu ni wenye kumuogopa Allah?
Baada ya kuelewa faida na fadhila ya elimu kwa ufupi, hebu tuangalie kwa jinsi gani Masahaba na wazuoni walivyojitolea maisha yao na matatizo waliyoyapata ili mradi tu watuwekee sawa masuala ya dini yetu.
Hadithi hii ipo ndani ya Kitabu cha Al Mishkat, Mlango wa Elimu, ameipokea riwaya Kasir bin Qais RadwiyAllahu Anhu. Sahaba wa Mtume Swallallahu Alaihi Wasallam, Abu Dardah RadwiyAllahu Anhu – ni miongoni mwa Masahaba wanachuoni (kwa maana walikuwa wakiwafundisha dini Masahaba wenzao). Baada ya Mtume Swallallahu Alaihi Wasallam kuiaga dunia, Abu Dardah nae aliihama mji wa Madina kwenda Damascus, Syria. Huko alikuwa akitoaga darsa za Hadithi ndani ya Msikiti mkuu wa Ijumaa. Kasir anaelezea kuwa siku moja walikuwa katika darsa zao, mara akaja mtu na kumuendea moja kwa moja Abu Dardah. Akamwambia “ewe Abu Dardah, hivi unajua kuwa mimi nimetoka umbali wa mji wa Madina na kilichonileta hapa si kingine labda ukafikiria pengine nimeleta bidhaa kutoka Madina kuuza hapa au pengine nitanunua bidhaa kwenda kuuza Madina, hapana! Mimi nimepata taarifa huko Madina kuwa kuna Hadithi moja ya Mtume Swallallahu Alaihi Wasallam ambayo ni wewe tu pekee uliyepokea riwaya, ndiyo nimekuja kuisikia”.
Sub-hanallah!! Hivi kweli leo tunaweza kuwapata watu wenye kuwa na uchungu wa elimu kiasi hicho?? Bila shaka hapana!!
Abu Dardah RadwiyAllahu Anhu akamsimulia hiyo Hadithi: nimemsikia Mtume Swallallahu Alaihi Wasallam akisema kuwa yule anaetoka kutafuta elimu (ya dini) basi huwa kwenye njia za Peponi, Malaika hutanda mbawa zao juu yake kumfanyia kivuli (riwaya nyingine inasema hutanda mbawa chini ya miguu yake), kisha wanyama wote wa ardhini – hata sisimizi ndani ya tundu, ndege wote wa angani na samaki wote wa baharini humuombea mtu huyo. Kisha akasema kuwa fadhila ya mjuzi juu ya mwenye kufanya ibada ni kama fadhila ya mwezi wa usiku wa 14 juu ya nyota zote (riwaya nyingine inasema kuwa fadhila ya mjuzi juu ya mwenye kufanya ibada ni kama fadhila yangu juu ya mtu mdogo sana miongoni mwenu”. 
Tuelewe kuwa enzi hizo usafiri uliotumika ni kumpanda ngamia – hapakuwa na mabasai, magari, reli wala ndege! Ila Waislamu walikuwa na moyo sana wa kujifunza na kueneza elimu.

Maswali / maoni yanakaribishwa.
JazakAllah,
Kind Regards,
Muhammad KHATRI

Apr 8, 2013

Hazrat Fatima RadiAllahu Anha Ki Nikah Ka Maher


Khatoon-A-Jannat Hazrat Fatima Radi-Allahu-Ta' aala-Anha Jab Bimaar Hui To Hazrat Ali Radi-Allahu-Ta' aala-Anhu Ne Farmaya, Aye Fatima! Meri Yeh Vasiyat Hai Ki Jab Huzoor SALLALLAHU-TA'A ALA-ALAIHI-WASA LLAM Ke Paas Pahucho To Mera Salaam Arz Karna Aur Kehna, Ya Rasoolallah! Main Aapka Mushtaq Hoon! Hazrat Fatima Radi-Allahu-Ta' aala-Anha Ne Farmaya Ki Meri Bhi Ek Vasiyat Hain Ki Jab Mera Intekaal Hojaye To Mujhper Cheekh-Chillake r Maatam Mat Karna Aur Mere Noor-A-Chasm Hasan Aur Husain Ko Maarna Nahi! Aye Sher-A-Khuda! Wo Dekhiye Huzoor SALLALLAHU-TA'A ALA-ALAIHI-WASA LLAM Bahoatse Farishton Ke Sath Tashrif Le Aaye Hain! Ab Main Ja Rahi Hoon! Aur Mere Intekaal Ke Baad Fala Jagah Maine Ek Kaagaz Ka Tukda Badi Hifazat Se Rakha Hai! Us Kaagaz Ko Nikaalker Mere Kafan May Rakh Dena Aur Use Padhna Nahi! Hazrat Ali Ne Farmaya, Fatima! Rasoolallah Ka Waasta Deker Kehta Hoon Ki Mujhe Bata Do Ki Us Kaagaz May Kya Likha Hain? Hazrat Fatima Radi-Allahu-Ta' aala-Anha Ne Farmaya Ki Jab Mera Nikah Aapse Hone Laga Tha To Huzoor SALLALLAHU-TA'A ALA-ALAIHI-WASA LLAM Ne Mujhse Farmaya-
Aye Fatima! Main Ali Se 400 Miskaal Chandi Ke Maher Per Tumahra Nikah Karne Laga Hoon! Maine Arz Kiya, Ya Rasoolallah! Ali Mujhe Manzoor Hain Lekin Itna Maher Mujhe Manzoor Nahi! Itne May Jibrayil Amin Ne Haazir Hoker Huzoor Se Arz Kiya, Ya Rasoolallah! Khuda Farmata Hai Ki Main Jannat Aur Uski Nematain Fatima Ka Maher Mukarrar Karta Hoon! Huzoor Ne Mujhe Iski Khaber Di To Main Fir Bhi Razi Na Hui! Huzoor SALLALLAHU-TA'A ALA-ALAIHI-WASA LLAM Ne Farmaya, To Fir Khud Hi Batao Ki Maher Kya Ho? Maine Arz Kiya Ya Rasoolallah! Aap Har Waqt Apni Ummat Ke Gham May Rehte Hain! Main Chahti Hoon Ki Aapki Gunahgar Ummat Ki Bakshish Mera Maher Ho! Chunanche, Jibrayil Wapas Gaye Aur Fir Yeh Kaagaz Ka Tukda Leker Aaye Jisme Likha Hain-
"Maine Ummat-A-Mohamma d Ki Shafa-at Fatima Ka Maher Mukarrar Kiya"

(Jaami-Ul-Moaji zaat Misri Pg-62)

SABAK:-

Huzoor SALLALLAHU-TA'A ALA-ALAIHI-WASA­LLAM Ke Sadqe May Hum Gunahgaron Per ALLAH Ka Bada Fazl Wa Karam Hai Ki Huzoor Ki Sahab-Zaadi Ko Bhi Hum Gunahgaron Ka Khayaal Raha Aur Wo Hamari Bakshish Ka Intezaam Farma Gayi!
Fir Yeh Kehna Ki Un ALLAH Walon Se Kuch Haasil Nahi Hota, Kis-Qadr Jahaalat Ki Baat Hai! Yeh Bhi Malum Hua Cheek-Chillaker Maatam Nahi Karna Chahiye! Is Chiz Se Khud Khatoon-A-Janna t Ne Bhi Mana Farmaya Hai!

Apr 5, 2013

Dil Ka Ujaala Naam-e-Muhammad (Arabic, Urdu, English)



Dil Ka Ujaala Naam-e-Muhammad in Arabic, Urdu, English Languages recited by Al-Haaj Imran Sheikh Attari can be downloaded here or here


 

Visitor's Traces

Total Page views