Ads 468x60px

Jan 1, 2025

RAJAB-UL-MURAJJAB - PT 2 [Kiswahili]

Assalaamu alaikum,

 

Natumai hamjambo. Mwezi wa Rajab tumeshauanza na ifuatayo ni sehemu ya kwanza ya risala …

 

 

Baada ya kumshukuru Allah na kumtakia Rahma Mtume Muhammad , aya hapo juu ya 36 ya Sura Tawbah, inazungumzia utukufu wa miezi minne. Mwezi Rajab, ambao ni mmojawapo kati ya miezi hiyo minne, mwezi ambao una fadhila tele. Ni mwezi ambamo dua hukubalika.

TAFSIRI: Bila shaka idadi ya miezi kwa Allah ni miezi kumi na mbili katika kitabu cha Allah tangu Alipoumba mbingu na ardhi, miongoni mwao minne ni yenye huruma (tukufu). Hii ni dini iliyonyooka na hivyo msidhulumu nafsi zenu katika miezi hizo. Na piganeni na washirikina wote kama wao wanavyopigana nanyi nyote, na jueni kuwa Allah yu pamoja na wachamungu.

                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                   

Mwezi wa saba katika kalenda ya Kiislam inaitwa RAJAB, ambayo inatokana na neno "TARJIB", yenye maana ya heshima na hata zama za ujahili Waarabu waliuheshimu sana mwezi huu kwa kuacha mapigano na mauaji, wakisema ni mwezi wa Mwenyezi Mungu.

Mtume amesema kuwa Rajab ni mwezi wa Allah, Shaaban ni wa kwangu na Ramadhani ni ya ummah wangu.

 

Mtume amesema kuwa Rajab ni mwezi wenye fadhila nyingi, thawabu ya amali njema huwa maradufu ya thawabu ya kawaida. Mwenye kufunga swaum 1 ndani ya Rajab, basi ni sawa na kufunga mwaka mzima.

Siku 1 Mtume Isa Alaihissalaam alipokuwa akipita karibu na mlima mmoja, aliona nuru sehemu Fulani ya mlima. Alimuomba idhini Allah ili aweze kuzungumza na mlima. Mlima ilimuuliza nini atakacho?  Mlima ikasema kuwa ndani yake kuna Mcha Mungu mmoja nan i kwa sababu ya huyo mlima una nuru. Mtume Isa Alaihissalaam alimuomba Allah aonyeshwe huyo mtu na mara mlima ikapasuka na akaonekana Mcha Mungu aliye mzuri sana. Alisema kuwa yeye ni katika watu wa Mtume Musa Alaihissalaam na alimuomba Allah Amjaalie maisha marefu ili aweze kushuhudia zama za Mtume wa mwisho Muhammad na hivyo ahesabiwe miongoni mwa ummah wa Mtume wa mwisho. Mcha Mungu huyo alikuwa mlamani humo kwa miaka 600. Kisha Mtume Isa alimuuliza Allah kama kuna Mcha Mungu ardhini zaidi ya huyo bwana? Allah alimjibu: "Ewe Isa, lau kama mja wangu katika ummah wa Mtume wa mwisho akifunga siku moja tu ya mwezi Rajab, basi huyo mja kwangu atakuwa Mcha Mungu zaidi kuliko huyo bwana!! (SUB-HANALLAH).

 

Baadhi ya tarehe muhimu:

Tarehe 1 – Mtume Nuh Alaihissalaam alianza safari na wafuasi wake katika mashua (meli) waliyoitengeneza.

Tarehe 4 – Vita vya Safin

Tarehe 4 – Imam Shafi-I Rahmatullahi Alaihi kuiaga dunia

Tarehe 6 – Sayyidina Moinuddin Chishti (kiongozi wa Walii kwa twariqa ya Chishtiya) kuiaga dunia

Tarehe 27 – Msafara wa isra na Mi-iraj ya Mtume .

 

 

 

Tarehe 1 Mtume Nuh na wafuasi wake walianza safari katika meli kabla ya tufani kali iliyowaangamiza waliompinga.

 

 

Tarehe 4: Imam Shafi aliaga dunia. Jina lake ni Muhammad bin Idris na kizazi chake cha 4 kinakutana na kile cha Mtume Muhammad kwa Abdi Manaf. Amezaliwa mwaka 150 hijria na kufariki mwaka 204h mjini Cairo, Misri. Alikuwa akikhitimisha msahafu mmoja kila siku katika mwezi Ramadhani. Kila alipopatwa tatizo, basi huenda kuizuru kaburi la Imam Abu Hanifa na kisha huomba dua akimtawassul.

 

 

 

Tarehe 6: Walii mkubwa wa Allah Moinuddin Chishti aliaga dunia nchini India. Walii huyo alikuwa mwaka sambamba na Sheikh Abdul Qadir Jilani Qaddasallahu Sirrah. Mtume Muhammad alimjaalia uwalii wa bara hindi. Mabaniani milioni 9 walisilimu kwa jitihada zake.

 

 

Tarehe 27: Msafara wa Isra na miraj ya Mtume Muhammad ambayo insha Allah tutaanza kuizungumzia hapo baadae.

 

Maswali / maoni yanakaribishwa

 

JazakAllah.

Dec 30, 2024

RAJAB-UL-MURAJJAB - PT 1 [Kiswahili]

Assalaamu alaikum,

 

Natumai hamjambo.

 

Mwezi unaotupigia hodi (katika kalenda ya Kiislam) ni Rajab. Leo ni mwezi 30 Mfungo 9 (Jamadi-ul-Akhar) na kuandama mwezi upo leo hii jioni.

 

Hivyo baada ya mwezi kuandama, Mtume Swall-Allahu Alaihi Wasallam ametuagiza tusome dua ifuatayo:

 

ALLAHUMMA BAARIK LANA FI RAJAB WA SHA’ABAAN WA BALLIGHNA ILAA SHAHRI RAMADHAN

 

In shaa Allah risala ya mwezi Rajab itafuata katika siku zijazo.

 

JazakAllah.

Qabr Meiñ Jalwa Dikhaate Haiñ Madeene Waale [Lyrics]


Qabr meiñ jalwa dikhaate haiñ Madeene waale,
Aarzoo marne ki yooñ karte haiñ jeene waale.

Itr e gul aur gulaab innke paseene se khajil,
Hai bhalaa aur kahaañ aise paseene waale.

Naakhudaai ki sifat Nooh se pooche koi,
Naam e Ahmad se huwe paar safeene waale.

Unnke As-haab ko kya kya nah saleeqa aaya,
Faiz e sohbat se huwe saare qareene waale.

Unn pe jo marte nahiñ haiñ unheiñ murdah samjho,
Aur jo marte haiñ inn par woh haiñ jeene waale.

Seena Afsar ka Madeenah ho, Ilaahi Aameen,
Aur Madeene meiñ haiñ Sarkaar Madeene waale.

Aug 26, 2024

Jab Jali Sham'e Wilaayat A'laa Hazrat Aap Ki [Lyrics]

Jab jali sham'e wilaayat A'laa Hazrat aap ki
Ban gayi Noori jama'at A'laa Hazrat aap ki

Ik taraf Ghawth ul waraa haiñ
Ik taraf Khwaja Piya
Khauf kyuñ khaaye jama'at A'laa Hazrat aap ki

Mid-hat e Sarkaar karte karte paaya ye maqaam
Ho rahi hai har soo mid-hat A'laa Hazrat aap ki

Ihteraam aal e Nabi ka dekh kar sab ne kaha
Sachi hai Aaqa se ulfat A'laa Hazrat aap ki

Qabr meiñ Sarkaar aayeiñ to kharaa ho jaauñ meiñ
Ishq meiñ ddoobi hai Turbat A'laa Hazrat aap ki

Jo samajh paaya nahiñ Taaj ush Shariah ka maqaam 
Kaise samjhega woh rif'at A'laa Hazrat aap ki 

Murshidi Akhtar Raza ho ya Zia ul Mustafa
Milti hai donoñ se barkat A'laa Hazrat aap ki

Ye yaqeeñ ARIF ka hai gar che buroñ se hai buraa
Mujhko Bakhshaayegi nisbat A'laa Hazrat aap ki

~ Khalifa e Huzoor Taaj ush Shariah & Huzoor Muhaddith e Kabeer, Mawlana Arif Barkaati Sahib Qibla, Malawi 

Jul 13, 2024

Khoya Khoya Hai Dil Hont Chup [Lyrics]

بسم اللہ الرحمٰن الرحیم

کھویا کھو یا ہےدل، ہونٹ چپ ، آنکھ نم، ہیں مواجہ پہ ہم
روبرو اُن (صلی اللہ تعالیٰ علیہ واٰلہ وسلم) کےلایا ہےاُن (صلی اللہ تعالیٰ علیہ واٰلہ وسلم) کا کرم ، ہیں مواجہ پہ ہم

لمحےلمحے پہ آیات کا نور ہے، نعت کا نور ہے
نور افشاں درودی فضا دم بہ دم ، ہیں مواجہ پہ ہم

ایک کونےمیں ہیں، سرجھکائےہوئے، منہ چھپائےہوئے
گردنیں ہیں کہ بارِ ندامت سےخم، ہیں مواجہ پہ ہم

آنسوئوں کی زباں، کر رہی ہےبیاں، اُن (صلی اللہ تعالیٰ علیہ واٰلہ وسلم) سےاحوالِ جاں
صرف اپنا نہیں پوری اُمت کا غم، ہیں مواجہ پہ ہم

مسکراتی ہوئی ہر تجلی ملی، کیا تسلی ملی
دور ہوتےگئےسارے رنج و الم ، ہیں مواجہ پہ ہم

سب طلب گار حرف شفاعت کےہیں اُن (صلی اللہ تعالیٰ علیہ واٰلہ وسلم) کی رحمت کےہیں
چہرےچہرے پہ ہے اک سوال کرم، ہیں مواجہ پہ ہم
 

Visitor's Traces

Total Page views