Ads 468x60px

Feb 8, 2025

NISF SHA'ABAAN [Kiswahili]

Assalaamu alaikum,

Natumai hamjambo.

Katika mwezi huu wa Sha’abaan mna usiku, ambao ni mwezi 14 kuamkia 15, ambamo mahesabu ya binadamu kwa mwaka uliopita hufungwa na vile vile matukio ya mwaka unaokuja huandikwa. Hivyo ni vyema tukawa katika ibada ili daftari letu kwa mwaka unaoisha ufungwe kwa ibada na ule wa mwaka unaoanza nao ufunguliwe kwa ibada.

Mmojawapo ya ibada iliyopendekezwa ni kusoma Sura Yasin mara 3 pamoja na Dua ya Nisf Sha’abaan baada ya sala ya Maghrib.

Pia Saum ya Nisf Sha'baan nayo ina fadhila zake.

Allah Atujaalie wepesi.

Jazak Allah.

0 comments:

Post a Comment

Enter your Comment here...

 

Visitor's Traces

Total Page views